I'm not getting back with Zari, ever - Diamond

Zari Hassan and Diamond Platnumz
Zari Hassan and Diamond Platnumz

So, for the last couple of days Diamond has been rumoured to be frequently visiting South Africa apparently to win back Zari. But he was so quick to hush those rumours.

Talking to Global Publishers he said:

“Ni kweli ninaenda. Siyo mara moja au mara mbili nimeenda. Nakwenda kule si kwa maana ya kumuomba msamaha, hapana. Nakwenda kule kwa ajili ya kuwaona wanangu. Haiwezekani eti niwe natuma tu fedha kwa ajili ya matumizi halafu nimeenda Sauz (South Africa), nisiende kuwaona wanangu, hilo litakuwa ni jambo la ajabu sana."

Adding, "Hao wanaosema kwamba sijui nimemuangukia, nafikiri itakuwa ni maoni yao tu na stori za kutunga, lakini kimsingi ni kwamba hayana ukweli wowote. Zari ni mama wa watoto wangu na itabaki kuwa hivyo."

WATCH: The latest videos from the Star