Rayvanny talks up Wasafi Fest amid 'Mwanza' ban

Rayvanny
Rayvanny

Bongo star Rayvanny has promised Kenyans a mega festival show next month with his fellow Wasafi singers.

"Wasafi Festival will be one of the greatest festivals here in Kenya, and we will have more artistes from Kenya as well," Ryvanny told Word Is.

The Tanzanian said he always dreamed of becoming a great singer, even after he completed his studies.

"Never lose hope in whatever you are doing. Hakuna mtu aliyeandikiwa atakua tajiri. Kila mtu anaeza kuwa kile anachokitaka.

Nilipotoka shule nilianza kufanya mziki ingawa nilikua nafanya kazi hapa na pale kama mtu angeniambia, niosheee viatu ama kushusha mizigo ili nipate hela lakini hizo zote zilikua za kufanya muziki," Rayvanny said.

Rayvanny released his latest song, titled Mwanza, featuring Diamond Platnumz, but two days later the song was banned in Tanzania.

Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) announced that the song lyrics were too vulgar and promote immorality among the youth.

Diamond responded: "Licha ya kuwa ni kweli #Nyegezi ni eneo na kituo cha Mabasi kilichopo Mwanza, lakini pia ni vyema Kama balaza letu pendwa la sanaa kutambua pia kuwa sio kila Nyimbo ni kwajili ya watoto wadogo... Hivyo kusema isipigwe kwenye TV na Radio tumekubali, lakini iwe Kwenye Ule muda ambao serikali uliuweka wa kuwa watoto wako macho, ila pale wanapolala, basi uruhusiwe ili walengwa wautazame...

"PILI:- kusema tuifute Mitandaoni pia, naomba pia Baraza letu pendwa litutazame pia na hapo. kwasababu mtoto mdogo tunaemlenga kumlinda asiharibikiwe kimaadili hapa, sizani kama mzazi wake anaweza kumruhusu akaperuziperuzi bila mipaka mitandaoni maana kama kweli ana uwezo wa kufanya hivyo basi anauwezo wa kwenda kuangalia hata Video za utupu, na vitu vingine ambayo wote tunafahamu ndio hatari na Madhara zaidi kwa watoto, kuliko hichi kinyimbo chetu cha #Mwanza Nyegezi."

The song, which had already amassed 1 million views on YouTube, will no longer be played on radio, TV or clubs in Tanzania.

WATCH: The latest videos from the Star