Otile Brown is one of the fast-rising singers in Kenya and without a doubt, this coast-based singer has made a name for himself.
The Alivyonipenda hitmaker has, however, come out to clear his name after being accused of stealing a laptop by a fan who called live on radio.
Talking exclusively to Word Is, Otile Brown said:
“Watu wanatoka mbali, na watu kutoka mbali huweziniletea stori ya 7 years ago. When I was a broker for phones and laptops, trying to survive in Mombasa.Unajua Mombasa ni mji wa wahuni…I was a hustler trying to make ends meet.”
Otile, who now has a new song called Kistaarabu, added:
“Sasa hizo time nilikua nimemuuzia vitu nyingi. Kumbe hii laptop alinipea nilienda kuuzia muhuni…Jamaa akahepa, ikawa ni kesi. Nilipoibiwa nikamwambia nitakurudishia, nitakulipa. Nikamwambia anidai pole pole…Ikaakaa, nikatoka Mombasa nikaja Nairobi 7 years down the line alafu mtu anakuja kunidai…Unapiga kwa redio. Haistahili hata airtime yangu…”
Otile described how the man was later attacked by his fans after embarrassing him:
“In my hood, he was really attacked, Coz in i’m like this king, the big deal in Mikindani and he apologized…”